Ukiwa kama mkristo kazi hii inatuhusu wote natuifanye kwa moyo.
Kwa mkristo yeyote atakayeguzwa na kuchangia harambee ya ujenzi wa nyumba ya Mungu mchango wako fikisha usharikani pia kama upo mbali kwenye hiii kadi kuna namba ya katibu wetu wa usharika unaweza kuwasiliana nae
No comments:
Post a Comment